Sunday 13 January 2013

Best of Ati.....Kwani ni.....jokes!! (feel free to add)

  • Ati chapo 30bob.. kwani imepikwa na mafta ya transformer? 
  • Ati Matatu 800..kwani nashuka na viti?
  • Ati Simu 70k.. kwani ina bafu na choo? 
  • Ati Tie 300..kwaniinakuja na shingo? 
  • Ati Sabuni 1K..kwani inaosha hadi dhambi? 
  • Ati Mbuzi 10k..kwani inazaa ng'ombe?? 
  • Ati Ovacado 25bob..kwani mbegu yake ni lolipop 
  • Ati matatu700,kwan dere ni pilot 
  • Ati bra 1000,kwan ni long sleeved 
  • Ati kiatu 10000,kwani inakam na barabara yake 
  • Ati bash ya kurka mwaka 5000,qwan naruka adi 2015
  • Ati munaomba serikali,kwani hiyo ni
    dini gani?
  • Ati kuona simba 500? kwani ni simba
    wa yuda?
  • Ati belt 2k kwani inavaliwa bila toja
  • Ati Uhuruto for statehouse.......... Kwani Hague kulibomolewa?? 
  • Ati success card ni 400,kwani inakuja na mwakenya
  • Ati PK 30 bob , kwani imetafunwa na Ferguson? 
  • Ati laptop 70k kwani iko na Windows ya chuma?    GUYS FEEL FREE TO ADD MORE !!